JIFUNZE KUPIGA KUNANDA

*MAFUNZO YA KINANDA*🎹

*Habari!* Anza sasa kujifunza unufaike na mafunzo haya mazuri kutoka kwa mwalimu mwenye uwezo mkubwa wa kufundisha.

Mafunzo haya yanatolewa kwa watoto kuanzia miaka mitano, pamoja na watu wazima wa umri wowote.

_*Kinanda* ni chombo cha muziki ambacho ni rahisi sana kujifunza na kupiga pia. Mtu yeyote anaweza kupiga kinanda akifundishwa na mwalimu mzuri wa kinanda. Ni wakati wako sasa kujifunza_

*UTANGULIZI:*
1.Utajifunza maana ya key/funguo kwenye muziki.
Namna ya kuzitambua key zote kwa majina na zauti zake kwenye kinanda.
3. Utafundishwa namna ya kuzitofautisha key moja baada ya nyingine.
4. Utafundishwa main keys, sharps & flats
5. Utafundishwa kanuni ya kuzielewa ili usisahau kabisa

*NB:* Key/funguo hizo ni *Main keys:* C, D, E, F, G, A, B
*Sharps or Flats:* C#/Db, D#/Eb, F#/Gb, G#/Ab, A#/Bb

*SEHEMU KUU YA SOMO:*
1. All key's notation in scales
2. Major, minor & diminished chords.
3. Kanuni za upigaji wa chords zote. Ukifahamu kanuni itakufanya usisahau namna ya kupiga
4. Namna nzuri ya kupanga vidole vya mikono katika chords
5. Passing Chords za key zote

*HITIMISHO:*
1. Kujifunza inversion tofautitofauti za chords za kila key uliyojifunza
2. Kujifunza kupiga nyimbo kwa kila key uliyojifunza

*NB:* kipao mbele kikuu ni kuhakikisha kwamba mwanafunzi ameelewa na anaweza kupiga kinanda vizuri!

Kwa maelekezo zaidi *njoo inbox tafadhari*, au wasiliana na mimi kwa simu:
_0757095620_
_0673095620_

*_Karibu sana 🙏_*